MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA NNE - 2024

Mtandao wafanya Mkutano Mkuu wa Nne

Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (CWHRDs Tz) umefanikiwa kufanya mkutano wake mkuu wa nne wa mwaka 2024, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi ya Mtandao wa Mwanawake Watetezi wa haki za binadamu Tanzania Kijitonyama.

Katika mkutano huo ulihudhuliwa na wanachama mbali mbali kutoka mikoani, Zanziba, na Dar es salam, ulikuwa na ajenda zifuatazo;

1. Kufungua kikao

2. Kusoma na kupitisha ajenda za mkutano mkuu

3. Kupokea na kupitishwa kwa ripoti kutoka kwa Bodi ya Wakurugenzi kwa mwaka wa 20223

4. Kupokea na kupitishwa kwa hesabu zilizokaguliwa za mwaka wa 2023

5. Kuchagua Mkaguzi wa mahesabu kwa mwaka 2024

6. Kupokea ripoti ya kamati ya uanachama 2023

7. Mengineyo

8. Tarehe ya Mkutano Mkuu ujao wa Mwaka

9. Kufunga mkutano

Download Annual General Meeting Report - 2023

Members

78

Members Registered

Litigation

2

Cases Intervened

Projects

5

Projects Completed

Copyright © CWHRDs-Tanzania